• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

RITA YATOA ELIMU KWA WATUMISHI MANISPAA IRINGA

Posted on: May 22nd, 2023

Watumish wa Halimashauri ya Manispaa ya Iringa wameshauriwa  kujenga mazoea ya kuandika usia binafsi au kwa wanandoa ili kuepusha migogoro ya kifamilia pindi mmoja anapofariki.

Rai hiyo imetolewa leo tarehe 22.5.2023 katika ukumbi wa mikutano Mamispaa na ndugu Magoti Afisa wa Rita alipokuwa akizungumza na watumishi  wa kada mbalimbali kutoka ofisi kuu Manispaa ya Iringa.

 Aidha Magoti amesema, " ni vizuri tuwe na mazoea ya kuandika usia ili pindi Mume au Mke mmoja anapofariki, kusiwe na migogoro ya mali au ya watoto."

"Kuna  dhana imejengeka kuwa kuandika usia ni kujichuria( mkosi) kifo, kitu ambacho si kweli, kwani kufa ni lazima na kila mtu atakufa."

Aidha Magoti aliwataka watumishi kuhakikisha wanafika Rita ili waweze kupatiwa vyeti mbalimbali haswa vya kuzaliwa, ndoa na vifo.

"Nawaomba msizembee kila mmoja anapaswa kuhakikisha anaenda Rita kupata cheti cha kuzaliwa pamoja na vya watoto wenu, pia wanandoa msiishi kwa mazoea fungeni ndoa rasmi iwe ya kiislam, kikristu au ya kiserikakali ili muweze kupata vyeti vya ndoa halisi vinavyotambulika kisheria."

Mkiwa na nyaraka hizi inakua ni rahisi kwa mtu kufatilia madai mbalimbali kama vile mirathi, kupata haki ya kurithi n.k

Mwisho aliwatoa hofu watumishi kwa kuwaelezea kuwa  gharama za kuandika na kuhifadhi usia sio kubwa kwani inampasa mtu kuwa na kiasi cha shilingi  40,000/- tu kwa miaka yote atakayotunza.

Kwa upande wake  Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa ndugu Charles Mwaitege alishukuru kwa elimu iliyotolewa  na kusema anaimani watumishi wamepata faida kubwa kupitia somo hilo na kuwataka wayazingatie na kuyafanyiakazi kwa faida ya baadae.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA VYUMBA VYA BIASHARA KATIKA STENDI YA IGUMBILO March 10, 2022
  • TAARIFA KWA UMMA May 15, 2023
  • TANGAZO KWA UMMA May 19, 2023
  • KARIBUNI June 12, 2023
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • ZIARA YA KIKWETE IRINGA FURAHA KWA WATUMISHI WA UMMA

    November 22, 2023
  • DENDEGO AWAASA WAFANYABIASHARA KUEPUKA UJENZI HOLELA

    November 21, 2023
  • OPERESHENI IRINGA UCHAFU SASA BASI YAANZA RASMI

    November 21, 2023
  • MWAROBAINI WA WAFANYABIASHARA HOLELA WAPATIKANA IRINGA

    November 16, 2023
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa