• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

RUHUSUNI UKARABATI WA MAJENGO

Posted on: November 28th, 2023

Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa Iringa amabaye pia ndie Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani Mhe. Ibrahim Ally Ngwada ametoa hoja binafsi kuhusu  ukarabati wa majengo yaliyochakaa katikati ya mji.



Hoja hiyo ameitoa katika Mkutano wa Baraza la Madiwani kujadili taarifa ya robo ya kwanza kuanzia Julai mpka Septemba, 2023, uliofanyika katika ukumbi wa Manispaa mwanzon mwa wiki hii.

Ngwada ameeleza kuwa katikati ya mji Majengo mengi ni mabovu na chakavu sana na yamekua hatarishi kwa wakazi wake, lakini vilevile yanapelekea mji wetu kuonekana mchafu na hii yote inasababishwa na sheria za mipango miji inayomtaka mkazi yeyote anayetaka kufanya ukarabati wa nyumba yake iliyopo katikati ya mji sharti ajenge ghorofa.

“watu wengi wamekua wakitamani kufanya ukarabati majengo yao ili yawe ya kisasa lakini wanashindwa kutokana na gharama za kujenga ghorofa kama sheria inavowataka, lakini ukiangalia wapo teyari kujenga nyumba za chini na za kisasa, sasa kwanini tusiwaruhusu wafanye ukarabati kwa sasa na wakati ukifika wa kujenga maghorofa tutakaa chini tena tuangalie upya.” Amesema Ngwada.


Najua tunatamani Mkoa wetu uwe Jiji na tunaelekea huko, lakini siyo kweli  kwamba maghorofa ndiyo yanaleta kigezo cha sisi kuwa jiji. Lengo la hoja hii ni kuufanya mji uwe safi na uvutie lakini pia ni kuepusha madhara, kwani majengo mengi ni mabovu na yanaweza kuanguka na kusababisha vifo kwa watu.

Aidha Diwani wa kata ya Mkimbizi na Mjumbe wa Baraza hilo Mhe. Eliud Mvela alipingana na hoja hiyo kwa kueleza kuwa wawekazaji watakuja na wataubadilsha mji kwa kujenga  maghorofa na siyo lazima wawe wazawa kwani hata Kariakoo ya Dar es salaam haijajengwa na wazawa bali wageni.

“mheshimiwa Mwenyekiti, Kariakoo mnayoiona ile imejengwa na Wakinga, Wachagga na wageni wengine na wala siyo Wazaramo(wazawa), hivyo hata sisi tuwe naimani ya kuwa wawekezaji watakuja na wataporomosha maghorofa hapa na mji wetu utapendeza na kuwa Jiji kama tunavyotamani.” Amesema Diwani Mvela.

Wajumbe wengine walipopata nafasi ya kuchangia hoja hiyo, waliiunga mkono kwa kuona mji haupendezi kutokana na uchakavu wa majengo na wamiliki hawana uwezo wa kuyavunja  na kujenga ghorofa, lakini wapo teyari kujenga nyumba za chini na za kisasa, hivyo wakatoa rai juu ya hoja hiyo kuwa utengwe muda maalum wa kujadili hoja hiyo.

Huku Mkurugezi wa Manispaa Iringa Ndugu Kastori Msigala alishauri hoja hiyo ipelekwe ikaanzie kwenye kikao cha menejimenti ili kuwepo na ushauri wa kitaalamu na baadae kujadiliwa katika vikao vya maamuzi ya juu ya Halmashauri.




Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa