• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

SAMIA KUTOA M.700 KUJENGA SOKO LA MACHINGA MANISPAA YA IRINGA

Posted on: August 12th, 2022

Wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Machinga Manispaa ya Iringa wamepiga kelele za shangwe vifijo na nderemo mara baada ya kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan katika ziara yake Mkoani Iringa baada ya kusema  anatambua mahitaji yao ni eneo la kufanyia biashara hivyo Serikali ya awamu ya sita itahakikisha wanapata maeneo hayo kwa kutoa zaidi ya shilingi milioni 700 zitakazoendeleza ujenzi katika eneo la  soko la Mlandege na kuhakikisha wanapata sehemu nzuri ya kufanyia biashara bila bughudha yeyote

Mhe.Samia ameyasema hayo katika viwanja vya Samora tarehe 12 Agosti wakati akihututubua maelfu ya wanachi waliofika kumsikiliza

Mhe Samia pia amesema anatambua changamoto ya  wanachi wa  Manispaa kuwa ni daraja kutoka Isakalilo kuunganisha Kitwiru hivyo Serikali itagharamia ujenzi wa daraja hilo ili kurahisisha huduma za usafiri na usafirishaji kwa wananchi  ambao wamepata adha kwa muda mrefu.

Mhe Samia ambayea aliambatana na baadhi ya Mawaziri,ma naibu waziri na viongozi mbali mbali wa Chama na Serikali waliokuwa tayari kutoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali kuhusiana na utekelezaji wa shughuli  katika wizara zao

Awali akizungumza waziri wa Afya Mhe.Ummy Mwalimu amesema Serikali inamikakati ya kuboresha huduma  za afya kwa kununua vifaa tiba pamoja na kuajiri wataalamu watakao toa huduma katika vituo  vya afya,,zahanati na Hospitali za wilaya ili kupunguza adha kwa wananchi

Pia Mwalimu amesema wanampango wa kununua magari ya kusafirishia wagonjwa (Ambulance) kila wilaya ili kurahisisha utoaji huduma kwa wananchi.

Kwa upande wake Waziri wa Kilimo ndugu Bashe  amesema Serikali imepunguza gharama za pembejeo ili kutoa unafuu kwa wakulima ambapo bei hizo zimepungua kwa kiasi kikubwa ambacho Serikali imezichua gharama hizo.

Amesema mbolea zote za kupandia ambazo zilikuwa zikiuzwa sh.120000 kuanzia tarehe 15/8/2022 wananchi watanunua kwa bei ya sh 70,000 tu

ZIara  ya Mhe.Samia Mkoani Iringa imekuwa ya mafanikio makubwa kwa wanachi kwani imetoa utatuzi wa changamoto za muda mrefu ambazo zimekuwa zikiwakabili kama miundo mbinu,upubgufu wa watumishi katika sekta mbali mbali,ukosefu wa vifaa tiba.

Aidha akihitimisha ziara hiyo katika Tarafa ya Isimani Iringa vijijini mhe Samia aliwataka wanachi kutokuwanywesha ulanzi watoto na badala yake wawanyeshe maziwa ili wawe na afya njema.

'Mkoa wa Iringa ni wazalishaji wazuri sana wa chakula lakini cha kushangaza watoto wengi wana udumavu,jamani msiwanyweshe ulanzi watoto wanyesheni maziwa.alisema Samia'

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa