• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

TAMISEMI YAIPONGEZA MANISPAA YA IRINGA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: July 7th, 2021

Timu ya  ufatiliaji kutoka Ofisi ya Rais  Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)imefanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya Maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri ya Manispaa  ya Iringa

Lengo la ziara hiyo iliyofanyika tarehe 7/7/2021 ni kuona maendeleo ya miradi  inayojengwa kwa kutumia fedha kutoka Serikali kuu na mfuko wa jimbo kwani ni utaratibu wa kawaida kukagua miradi hiyo kila  mwisho wa mwaka wa fedha

Sweetbert Masato ni Mchumi Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango kutoka Ofisi ya Rais ametoa rai kwa Mkurugenzi wa Manispaa kusimamia kwa kufuata taratibu/ mwongozo  wa ujenzi wa miradi hiyo ili iweze kujengwa kwa  kiwango  kinachotakiwa kulingana na fedha zilizotolewa ili ilete tija kwa kutatua changamoto za wananchi

'Ni muhimu Halmashauri ikafuata mwongozo uliotolewa na Wizara husika kwa ajili ya ujenzi wa miradi  kwani kuna mapungufu madogo  yamejitokeza kwenye baadhi ya majengo natoa maelekezo yarekebishwe mara moja na kwa miradi iliyo nyuma ya wakati naagiza  Mkurugenzi usimamie hilo ili miradi yote ikamilike kwa wakati.Alisema Masato'  

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na mradi wa ujenzi wa kituo cha Afya cha Mkimbizi,Shule ya Msingi Ilala, shule ya Sekondari ya Mlamke,  Umaliziaji na ujenzi wa Zahanati ya Itamba na machinjio ya kisasa Ngelewala

Omary Mkangama ni kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ameishukuru timu hiyo  kwa ukaguzi wa miradi na kupokea maelekezo yote yaliyotolewa pia ameahidi kuyafanyia kazi kwa haraka kwa manufaa ya wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa