• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

TIMU YA VOLLEYBALL MANISPAA YA IRINGA YAIBUKA KIDEDEA KATIKA MASHINDANO YA TAASISI ZA SERIKALI NYANDA ZA JUU KUSINI

Posted on: November 22nd, 2018


Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Ndugu Hamid Njovu amekabidhiwa kombe la ushindi wa kwanza kwa timu ya volleyball Manispaa ya Iringa iliyoshiriki mashindano ya volleyball kwa taasisi za serikali nyanda za juu kusini, yaliyofanyika jijini mbeya.

Akizungumza wakati wa kukabidhi kombe hilo Kepteni  wa timu ya volleyball Manispaa Iringa Ndugu Joseph Milinga amesema, imewapa faraja kwa kupokelewa na kuthaminiwa na Mkurugenzi wa Manispaa pamoja na Timu ya menejimenti, jambo ambalo limewapa moyo na kuahidi kuleta tena kombe mwakani.

Aidha Kapteni amesema changamoto wanazokutana nazo ni pamoja na ukosefu wa uwanja wa kufanyia mazoezi, hivyo kumuomba Mkurugenzi wa Manispaa kuwapatia eneo la kudumu  ambalo litakua la Manispaa ili waweze kufanya mazoezi bila kusumbuliwa.

Akipokea kombe hilo Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Ndugu Hamid Njovu amesema, amefarijika sana baada ya timu kurudi na kombe hivyo kuwaomba watumishi kila idara kuitendea haki idara zao kwa kuonyesha uhai wa idara na kubuni shughuli za kufanya ambazo ameahidi kuzisaidia kulingana na bajeti.

“Hongereni sana kwa kupata ushindi  ,kila idara na sekta ikija na mikakati inayotekelezeka naahidi kuisaidia.”

Timu ya volleyball Manispaa ya Iringa  ilishiriki michezo ya kusini ambayo ilikua na wachezaji 10 chini ya kepteni wao Joseph Milinga.ambapo walishindana na timu mbalimbali za nyanda za juu kusini ikiwemo timu ya kutoka Ruvuma, Njombe, Lindi na Rukwa.  

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa