• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

TOENI TAARIFA KWA WANACHI SERIKALI INAVYOTOA FEDDHA ZA MIRADI- MHE.BASHUNGWA

Posted on: July 2nd, 2022


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Innocent Bashungwa amewataka Maafisa habari kuhabarisha jamii namna Serikali ya Awamu ya sita inavyotoa fedha za miradi ya maendeleo  katika  maeneo mbalimbali nchini.

Aidha mhe Bashungwa amewataka maafisa habari kuzingatia weledi,ubunifu na jitihada katika kutekeleza majukumu yao ili jamii iweze kunufaika kwa kupata taarifa sahihi na kwa wakati.

Mhe Bashungwa ameyasema hayo katika mkutano uliofanyika leo Julai 2 katika ukumbi wa Mikutano wa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma wakati alipokutana na maafisa habari wa Mikoa,Halmashauri na Taasisi zilizopo chini ya ofisi ya Rais TAMISEMI.

Mhe.Bashungwa amesema Maafisa habari wanajukumu kubwa la kuisemea vizuri Serikali na kuitetea kutokana  na mambo ya upotoshaji yanayofanywa katika mitandao ya kijamii na  watu wasio Itakia mema nchi yetu.

Aidha mhe.Bashungwa amewataka wakurugenzi na MakatibuTawala wa Mikoa kuhakikisha kitengo cha Mawasiliano Serikalini kinakuwa na vifaa vya kutosha ili waweze kutekeleza majukumu yao vizuri.

Awali akiongea katika Mkutano huo Msemaji Mkuu wa Serikali ndugu Gerson Msigwa amewataka Maafisa Habari kutumia fursa hiyo ya mkutano huo kijipanga na kufanya maboresho ya utendaji kazi wao huku akiwaasa kuwa changamoto walizonazo zisizoroteshe utendaji wao wa kazi na badala  yake watimize wajibu wao kwa kufanya kazi kwa bidii ili wanachi wapate taarifa mbalimbali za utekelezaji wa miradi ya maendeleo na shughuli zingine zinazofanywa na taasisi zao na kusema kuwa wao ni daraja kati ya Serikali na wanachi.

Dr.Charles Msonde ni Kaimu katibu Mkuu TAMISEMI anasema wanatambua Kitengo cha Mawasiliano Serikalini kinachangamoto nyingi hivyo ameahidi kuzifanyia kazi mara moja ili kuhakikisha maafisa Habari wanatekeleza majukumu yao ipasavyo.

Katika mkutano huo mada mbali mbali zilitolewa ikiwepo Uanzishwaji wa Kitengo cha Mawasiliqno Serikalini,utekelezaji wa miundombinu ya Afya,utekelezaji wa miradi ya Elimu,Sura ya bajeti ya Ofisi ya Rais TAMISEMI ni zingine .

Matangazo

  • IMC. TANGAZO LA KUITWA KWENYE KAZI ZA MUDA YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 27, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA VYUMBA VYA BIASHARA KATIKA STENDI YA IGUMBILO March 10, 2022
  • TANGAZO LA KAZI MANISPAA YA IRINGA 30.05.2022 May 30, 2022
  • IMC. MIRADI YA UVIKO HADI TAREHE. 3 JAN 2022 PDF January 04, 2022
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • MANISPAA YA IRINGA ILIVYOFANIKIWA KWA MWAKA WA FEDHA 2021/2022

    August 17, 2022
  • SAMIA KUTOA M.700 KUJENGA SOKO LA MACHINGA MANISPAA YA IRINGA

    August 12, 2022
  • MANISPAA YA IRINGA YATIA FOLA MAPOKEZI YA RAIS SAMIA

    August 11, 2022
  • VIJANA UMISETA MKOA WA IRINGA WAJIPANGA KURUDI NA USHIINDI 2022

    August 04, 2022
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa