• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

UKATILI WA KIJINSIA IRINGA KUWA AJENDA YA KUDUMU

Posted on: December 7th, 2023

Mkuuwa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Halima Dendego amewataka viongozi wa Halmashauriya Manispaa ya Iringa kuhakikisha ajenda ya ukatili wa kijinsia inakuwa ajendaya kudumu katika vikao vyote na mikutano ya Baraza la madiwani ili kutatuatatizo hilo katika Mkoa.

Mkuuwa Mkoa amesema hayo katika Kongamano la Kupinga matukio ya Ukatili wa Kijinsiamkoani Iringa lililoandaliwa na Diwani viti maalum Mhe. Dorah Nziku katikaUkumbi uliopo Soko la Mlandege likiwa na kauli mbiu isemayo "Iringa BilaUkatili Inawezekana".

“Nimpongeze Mheshimiwa Diwani kwa kuandaa kongamano hili kwakuwa litasaidia kupunguzamatukio ya ukatili wa kijinsia, hivyo nawaagiza viongozi wa Manispaa ajenda hiiiwe ni ajenda ya kudumu katika vikao vyote pamoja na mikutano ya madiwaniitusaidie kupata njia ya kutatua hili” Amesema Mhe. Dendego

Diwani viti maalum Mhe. Dorah Nziku amesema lengo la Kongamano hilo ni kupeana elimuzaidi na kuwaleta pamoja wanawake na wanaume katika mapambano ya kutokomezaUkatili wa kijinsia mkoani Iringa ikiwa ni moja ya hatua ya kuelekeamaadhimisho ya siku 16 za Kupinga Ukatili wa kijinsia. 

"NimeandaaKongamano hili kwasababu nimeguswa na kuumizwa na vitendo vinavyoendelea katikaMkoa huu, zamani walisema watoto wetu wa kike tuwalinde sana, lakini sasa hivihata watoto wa kiume tuwalinde sana, kwasababu watoto wa kiume wanalawitiwamno" Amesema Dorah 

Kongamanohilo limeongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego kuhudhuriwa na WanawakeMkoani humo kwa kushirikiana na Umoja wa Wanawake Chama Cha Mapinduzi (UWT) Mkoawa Iringa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa