• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

VIJANA UMISETA MKOA WA IRINGA WAJIPANGA KURUDI NA USHIINDI 2022

Posted on: August 4th, 2022

Vijana wanamichezo Mkoani Iringa wameaswa kuendelea kujituma zaidi na kuonesha nidhamu katika michezo wakiwa katika maandalizi ya kwenda kushiriki mashindano ya UMISETA kitaifa

Hayo yamesemwa Agasti 4.2022 na Mhe. Rita Kabati, Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Iringa ambaye ni mgeni rasmi katika kufunga mashindano ya UMISETA ngazi ya Mkoa yaliyofanyika katika viwanja vya shule ya Sekondari Lugalo

Hata hivyo Mhe. Rita Kabati ametoa ahadi kwa vijana hao kuwatembelea zaidi wakati wa kambi kwa kuwapa hamasa na ameahidi kutoa zawadi nono kwa timu zitakazorudi na ushindi wa makombe katika ushiriki wao

Kwa upande wake Ndg. Gelvas Simbeye ambaye ni kaimu Afisa Elimu Mkoa wa Iringa amesema jumla ya wanamichezo 120 ndio wamechaguliwa kwenda kushiriki katika mashindano ya UMISETA kitaifa wakiwakilisha Mkoa wa Iringa huku akiwa na matumaini ya kurudi na ushindi katika makundi mbalimbali ya michezo ambayo watashiriki kitaifa  Mkoni Tabora ambayo yataanza tarehe 9 mpaka tarehe 20 mwezi Agasti mwaka huu.

Aidha Simbeye amesema  michezo watakayoshriki ni Mpira wa miguu, kwa wavulana na wasichana, netball, mpira wa wavu kwa wavulana na wasichana, mpira wa mikono, mpira wa kikapu kwa wavulana na wasichana, riadha kwa wavulana, wasichana na makundi maalumu pamoja na fani za ndani

Flaviana Bruno ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wasichana Iringa ambaye pia amechaguliwa katika Timu ya Mkoa amesema yeye na wenzie wamejipanga kushiriki vyema katika michezo hiyo na kuhakikisha wanarudi na ushindi.

Nae Ayubu Salingwa Mwanafunzi mshiriki atakayekwenda katika mashindano hayo amemshukuru Mhe. Rita Kabati kwa kujitoa katika kuhamasisha wanafunzi hao katika kuona wanafanya maandalizi mazuri hadi kufikia siku ya mashindano na ametoa pongezi kwa Rais Samia kutoa nafasi ya uwepo wa michezo hiyo kwani inawajenga kiakili na kiafya n ani moja ya njia ya kufahamiana Zaidi hivyo akatoa ahadi yakwenda kufanya vizuri waendapo Mkoni Tabora


Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa