• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

VITUO 17 VYA WATOA HUDUMA ZA AFYA VYASAINI MKATABA NA MANISPAA YA IRINGA

Posted on: February 2nd, 2024

Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Mhe. Ibrahim Ally Ngwada amewataka wamiliki wa vituo binafsi pamoja na watoa huduma za umma wawe waaminifu na waadilifu hasa katika kusimamia maadili na kanuni zilizowekwa katika kazi zao.

Ameongea hayo katika tukio la utiaji saini wa mikataba baina ya Serikali na Sekta binafsi za afya Mjini Iringa, amesema kuwa vituo binafsi vina mchango mkubwa katika utoaji wa huduma za afya kwa wananchi,hivyo mikataba hiyo  inasainiwa kwa lengo la   kuboresha huduma za afya baina ya vituo binafsi na Serikali na kuwataka wazingatie mwongozo uliowekwa ili kuboresha huduma hizo.

"Mnachokifanya nyinyi mnaisaidia Serikali, najua nyie ni sehemu ya watoa huduma kwenye jamii yetu, tukisema kuwa huduma zote zitolewe katika vituo vya afya vya Serikali uwezo wa kuhudumia watu wote unakuwa mdogo ". Amesema Ngwada.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Dkt. Godfrey Mbangali ambaye pia ni Mganga Mkuu wa Manispaa amesema kuwa Halmashauri ina jukumu la kusimamia makubaliano ya mkataba huo yaweze kusainiwa na kutekelezwa ili kuboresha huduma za afya kwa wananchi.

"Sisi Manispaa ni walezi wa hivi vituo, tunawalea ili huduma ziweze kutolewa kwa wananchi lengo letu ni kuona huduma za afya zinatolewa kwa usahihi Boresheni huduma zenu, lakini pia boresheni mazingira". Amesema Mbangali.

Aidha, baadhi ya wamiliki na wawakilishi wa vituo vya afya na zahanati wamesema kuwa mkataba huo una manufaa kwao kwani utasaidia katika kusimamia na kutekeleza  utendaji kazi ili kuleta ufanisi wa vituo vyao.

Jumla ya vituo vya Umma na  Binafsi (17) vinavyohusika na utoaji wa huduma za Afya Iringa vikimemo Marie Stopes, Imecc Hospital, Aghakhan Polyclinic, Cosmopolitans Hospital, Dream Dispensary, Ipogolo Rc na vingenevyo vimesaini mkataba huo chini ya mwongozo wa Wizara ya afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto katika ukumbi wa Manispaa ya Iringa January 30 2024.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa