• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

VYUMBA VIWILI VYA MADARASA NA OFISI ZA WALIMU SHULE YA MSINGI KITWIRU ZAKABIDHIWA KWA MEYA, MANISPAA YA IRINGA

Posted on: January 30th, 2018

VYUMBA VIWILI VYA MADARASA NA OFISI ZA WALIMU ZAKABIDHIWA KWA MEYA WA MANISPAA YA IRINGA SHULE YA MSINGI KITWIRU.

Wafadhili kutoka kituo cha Amani Centre ndani ya Kata ya Kitwiru katika Manispaa ya Iringa, wamekabidhi madarasa mawili na ofisi za walimu kwa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mheshimiwa Alex Kimbe baada ya kusaidia umalizia wa vyumba hivyo vya madarasa.

Akisoma taarifa fupi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa ofisi za walimu na vyoo vya walimu mkuu wa shule ya Kitwiru mwalimu Salome Sanga amesema ujenzi huo ulianza tarehe 18/5/2015 ambapo jumla ya shilingi milioni 46,650,100/= zimetumika katika ujenzi wa majengo hayo kwa mchanganuo ufuatao, Michango ya wanachi ni shilingi milioni,12,274,100/= wafadhili ambao ni AMANI CENTRE shilingi 10,500,000/=,serikali kutoka ofisi ya mkurugenzi wa Manispaa shilingi 23,316,000/= na Ofisi ya Mbunge shilingi 560,000/=.

Akikabidhi majengo hayo Bwana Johan George kutoka Amani Centre amesema lengo lake na mke wake ni kuona watoto wanasoma katika mazingira mazuri hivyo haya yote yamefanyika kwaajili ya uwepo wa wanafunzi hawa katika Shule hivyo , wanafunzi ni watu muhimu katika maendeleo haya, aidha amewaasa walimu kufundisha kwa bidii kwani itakuwa haina maana kama mazingira ya kazi yatakuwa mazuri kwa majengo na madarasa alafu wanafunzi wakafeli. Hivyo amewaomba walimu kujitahidu kufanya kazi kwa bidii zaidi.

Akitoa shukrani baada ya kukabidhiwa majengo hayo Meya wa Manispaa ya Iringa Mheshimiwa Alex Kimbe amesea kuwa, ni jambo la faraja na kupendeza kuona ushirikiano uliopo kati ya Shule, Serikali na wafadhili umoja huu udumishwe na kuendelezwa kwa ustawi wa maendeleo ya wanafunzi na jamii ya watu wa Iringa.

Aidha mfadhili huyo ameahidi kujenga vyoo vya walimu katika shule hiyo ya Msingi Kitwiru.

Kwa habari zaidi tembelea tovuti ya Manispaa ya Iringa, 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa