• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

Waandishi wa Habari wanawake wamuunga mkono Rais Samia kutangaza utalii Nchini

Posted on: November 13th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya iliopo Mkoani Mbeya Dkt. Rashid Chuachua,amewapongeza waandishi wa habari wanawake kwa kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan,za kutangaza fursa za utalii na uwekezaji zilizopo nchini.


Dkt.Chuachua amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari wanawake waliojikita katika kuandika habari za utali na uwekezaji,kupitia kampeni yao ya kutembelea na kutangaza utalii na fursa za uwekezaji zilizopo nchini,wakati walipotembelea ofisini kwake wakiwa  kwenye ziara yao ya siku tatu Mkoani humu ya kutangaza fursa hizo.


Aliwapongeza kwa namna wanavyo fanya ya  kuangalia fursa za uwekezaji na kuhamasisha utalii katika maeneo mbalimbali nchini.


"Nawapongeza kwa sababu mnaunga mkono juhudi  kikamilifu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye yeye ameamua kutangaza utalii kwa kufanya Royal Tour,kwa ajili ya kutangaza utalii na vivutio vya utalii,"


Sanjari na hayo amesema Wilaya hiyo na Mkoa kwa ujumla una fursa za uwekezaji katika sekta mbalimbali kiwemo kilimo na utalii.


Hivyo amewaomba wawekezaji kwenda kuwekeza katika Wilaya hiyo kwa ajili ya kuinua uchumi wa Mkoa,taifa na kutoa ajira kwa vijana.


Amesema suala la uwekezaji linalokwenda sambamba na uwekezaji katika sekta ya utalii,Wilaya ya Mbeya ina hali nzuri inayosaidia kustawi kwa mazao mbalimbali ambapo ina hali ya ubaridi na joto, hali inayofanya  mazao mchanganyiko kuweza kustawi,



Naye mmoja wa wawekezaji mkoani humo,Mkurugenzi wa shule ya awali na msingi  ya Paradise Mission,Ndele Mwaselela, alisema Mkoa huo una fursa na rasilimali nyingi,lakini changamoto iliopo ni kutovitangaza ili viweze kufahamika.


Mwaselela amesema,kupitia waandishi hao watasaidia kutangaza utalii na fursa za uwekezaji zilizopo mkoani humo.


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi,(CCM),Mkoa wa Mbeya Jacob Mwakasole,aliwapongeza waandishi hao kwa kuamua kutembelea Mkoa huo kwa ajili ya kutangaza fursa za utalii na uwekezaji.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa