• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WAANDISHI WAAHIDIWA KUUZIWA VIWANJA AMBAVYO WATALIPIA KWA AWAMU

Posted on: May 18th, 2021

"Nikiwa mmoja wa viongozi wa Halmashauri nawaahidi kuwasaidia mpate viwanja ambavyo mtalipia kwa awamu ikiwa ni kama motisha katika kutekeleza majukumu yenu ya kila siku"

Hayo yamesemwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe.Ibrahimu Ngwada alipokuwa anaongea na waandishi wa habari pamoja na wadau wa habari kwenye Maadhimisho  ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari Duniani hapa Mkoani Iringa leo Mei 18. 2021 katika ukumbi wa Neema Craft

Mhe. Ngwada pia  ametoa Rai kwa waandishi kujitokeza na kufanya shughuli mbalimbali zitakazowaletea mandelao, alisema  "Msifanye kazi kwa kutegemea kipande kimoja cha mkate hivyo jaribuni kuchangamkia fursa mbalimbali zitakazo wasaidia kuinua uchumi wenu"

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Iringa Ndg. Frank Leonard katika hatuba yake amesema dhumuni la maadhimisho haya ni kuangalia na kulinda hali ya uwepo wa uhuru wa vyombo vya habari lakini kuwakumbuka waandishi wa habari waliopoteza maisha wakiwa katika majukumu yao ya kihabari pamoja na kukumbushana katika kutimiza majukumu yao ya kila siku kama wajibu wa Tasnia ya habari unavyowataka

Hata hivyo katika maelezo yake Ndg, Frank amesema pia, kwa mwaka 2020 Tanzania imekuwa nchi ya 124 kati 180 kwa uhuru wa vyombo vya habari kutokana na sababu ambazo ni kufungiwa kwa magazeti, kupigwa kwa waandishi, kutozwa faini zisizo stahiki, kufungwa kwa mitandao ya kijamii ya habari, kubadilishwa kwa kesi za jinai kuwa madai kwa uonevu

Aidha, ameeleza kuwa sababu nyingne inayopelekea kuanguka kwa tasnia ya habari ni baadhi ya makundi ya wanahabari kuingia katika propaganda za kuchafuana wenyewe kwa wenyewe bila sababu za msingi

"Tupendane, tushirikiane na kuishi kama ndugu tukishirikiana katika kukuza tasnia yetu." Mwenyekiti wa IPC Ndg, Frank akatoa wito kwa wanahabari waliohudhuria maadhimisho hayo

Maadhimisho hayo hufanyika kla mwaka Mwezi Mei na  kwa mwaka huu 2021 yamefanyika leo na kuwashirikisha wanahabari na wadau mbalimbali wa Habari wakiwemo viongozi wa Serikali na wa vyama mbalimbali vya siasa,huku mada mbalibali zikijadiliwa ikiwemo Habari kwa Manufaa ya Umma.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa