• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WADAWA WA MAPATO YATOKANAYO NA POS KUSHUGHULIKIWA-NGWADA

Posted on: September 29th, 2022

Mhe. Ibrahim Ngwada, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa kuhakikisha wale wote wanaodaiwa madeni yanayotokana na  mashine za ukusanyaji wa mapato POS kulipa madeni hayo mara moja.

Hayo ameyasema leo tarehe 29/9/2022 katika Mkutano Maalum wa Baraza la Madiwani wa kujadili taarifa za hesabu za mwisho  za Halmashauri ya Manispaa ya Iringa za kuishia  tarehe 30 Juni 2022 ulilifanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa Manispaa  huku ukihudhuriwa na Mkuu Wilaya ya Iringa Mhe.Mohamed Moyo na kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya.

Mhe.Ngwada amesema ni lazima watu hao wapatikane na wawajibishwe ikiwa ni pamoja na kurudisha fedha zote wanazodaiwa.

Aidha  Ngwada amemuagiza Mkurugenzi na wataalam kushughulikia suala la wamachinga kwa kuhakikisha wanawapanga vizuri katika maeneo maalum yaliyotengwa kwa ajili ya kufanyia biashara zao.

Mhe.Ngwada amepongeza timu ya Menejimenti  kupitia Sehemu ya Maendeleo ya Jamii kwa juhudi ya utoaji Mikopo ya asilimia kumi ya mapato ya ndani  inayotolewa  kwa wanawake,vijana na watu wenye ulemavu kwani katika kpindi cha Mwaka wa fedha 2021/2022 zaidi ya shilingi milioni  mia saba (700) zimekwishatolewa katika makundi hayo.

Akizungumza na wanahabari mara baada ya kumazilizika kwa kikao hicho  Diwani wa Kata ya Kwakilosa Mhe Hamid Mbata amesema Madiwani wamejipanga vyema kusimamia ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa Manispaa na hawatakuwa na huruma kwa yoyote atakayeonekana  kukwamisha utekelezaji huo .

Mhe Mbata amesema mkakati mwingine ni kuhakikisha wanaibua vyanzo vipya vya mapato na kuboresha vile vya zamani kwa lengo la kuongeza mapato ya Halmashauri ili kuwaletea wanachi maendeleo.

IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO MANISPAA YA IRINGA.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa