• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WAFANYABIASHARA MANISPAA YA IRINGA WATAKIWA KUHAMIA SOKO LA NGOME

Posted on: January 28th, 2019

“ Tunaomba wafanyabiashara wote wanaofanya biashara za magenge mitaani hasa katika Kata ya Kihesa, waje wote katika soko la Ngome kwani nafasi zipo na kuendelea kufanya biashara mitaani inasababisha soko la ngome kukosa wateja”

Ombi hilo limetolewa na Bi, Veronica Mwalongo mfanyabishara wa soko la Ngome baada ya Katibu Tawala wa  Mkoa wa Iringa Ndugu Happiness Seneda kufanya ziara ya kutembelea soko la ngome pamoja na miradi mbalimbali ya Maendeleo ndani  ya Manispaa ya Iringa.

Amesema imekuwa ni ngumu kufanya biashara katika Soko la ngome kwasababu wafanya biashara wa magenge bado wapo mitaani hivyo Soko hili kukosa mvuto.

Akitoa maelekezo Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa Bi, Happinesi Seneda amesema uongozi wa Manispaa ya Iringa uhakikishe wamiliki wote wa magenge yaliyo mitaani wanahamia katika soko la ngome. Pia Manispaa iwasiliane na SUMATRA ili ipangwe njia ya mabasi kupita katika soko hilo ili kuwarahisishia wateja wanaokuja kununua bidhaa katika soko ilo.

Akitoa ufafanuzi Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Ndugu Omary Mkangama amesema kuwa Manispaa ya Iringa imepanga soko hilo  la Ngome kuwa soko la Matunda ya jumla hivyo magari yote ya matunda yatatakiwa kushusha matunda katika soko la ngome na baadae wachuuzi wadodo wadogo watanunua na kusambaza katika masoko mengine.

Sekretarieti ya mkoa wa Iringa imefanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika Manispaa ya Iringa. Miradi iliyotembelewa ni mradi wa ujenzi wa vyoo kwa shule ya msingi Azimio na Umoja, ujenzi wa shule ya Mivinjeni, shule ya nduli pamoja na Soko la ngome

Aidha katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa Bi, Happinesi Seneda ameuomba uongozi wa Manispaa ya Iringa kwa kushirikiana na uongozi wa Kata ya nduli, kuhakikisha wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza katika shule hiyo basi wanafika shuleni hapo hata kama hawana sare. Kwani uwiano wa watoto waliopelekwa shuleni hapa na watoto walio anza masomo hauwiani.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa