• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WAFANYAKAZI WATAKIWA KUPINGA UKATILI

Posted on: May 1st, 2023

Kaimu wa Mkuu wa Mkoa wa İringa ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Mhe. Peres Magiri amewataka wafanyakazi Mkoani humo kuhakikisha wanapinga vikali ukatili wa kijinsi kwa Wanawake na Watoto na kutokomeza tatizo la Udumavu ili kupata nguvu kazi bora ya Maendeleo

Peres ameyasema have leo tarehe 1/5/2023

wakati wa sherehe ya Wafanyakazi (Mei Mosi) iliyofanyika kimkoa katika Halmashauri ya Mji Mafinga katika viwanja vya Mashujaa.

Aidha  Mhe. Magiri amesema kuwa ni wakati sasa wa wafanyakazi kusimama kuwajibika na kupambana kwa kufanya kazi kwa bidii huku wakihakikisha wanazitatua Changamoto mbalimbali zinazo kwamisha Maendeleo ya Taifa ikiwa ni pamoja na suala la ukatili na udumavu kwa watoto.

Mhe. Magiri pia amewataka wanafanyakazi wote kufanya maandalizi mapema ya kuweka akiba itakayowasaidia pindi wanapoelekea kustaafu.

Akitoa taarifa kwa Niaba ya Wafanyakazi wote Mratibu wa TUCTA Mkoani İringa ndugu Kuguru Kitambuka ameiomba Serikali kupunguza kodi ya wafanyakazi pia kukiangalia Kikokotoo

Sambamba na haya pia Mhe. Peres Magiri amewakabidhi zawadi mbalimbali kwa wanafunzi bora waliokuwa wafanyakazi bora.

Imetolewa na kaimu Mkuu wa kitengo cha MawasilianoiSerikalini Manispaaya ya Iringa.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA VYUMBA VYA BIASHARA KATIKA STENDI YA IGUMBILO March 10, 2022
  • TAARIFA KWA UMMA May 15, 2023
  • TANGAZO LA KAZI MANISPAA YA IRINGA 30.05.2022 May 30, 2022
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • CHONGOLO ATAFUNA MFUPA MGUMU WA MACHINJIO YA NGELEWALA

    June 01, 2023
  • KARIBUNI MUWEKEZE MANiSPAA-MEYA NGWADA

    May 26, 2023
  • MADIWANI MANISPAA YA IRINGA WATEMBELEA MACHINJIO YA KISASA SONGEA

    May 25, 2023
  • RITA YATOA ELIMU KWA WATUMISHI MANISPAA IRINGA

    May 22, 2023
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa