• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WAKUU WA IDARA MANISPAA YA IRINGA WATAKIWA KUCHOCHEA MAPATO YA HALMASHAURI.

Posted on: August 28th, 2018


Wakuu wa Idara na vitengo wa Halmashauri ya Manispaa wametakiwa  kubuni na kutafuta njia ya kuweza kuchoche  mapato ya Manispaa ili kuweza kuongeza ufanisi katika kutoa huduma kwa wananchi.
Kauli hiyo imetolewa na Katibu Tawala wa Wilaya Ndugu Hashim Komba alipokuwa akizungumza na wakuu wa idara na vitengo wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa katika ukumbi wa Manispaa.
Amesema wakuu wa Idara wanatakiwa waone ufahari  kumshauri mkurugenzi wa Manispaa kuhusu kukusanya mapato na kila Idara ipange kubuni   vianzia vipya na jinsi gani itaweza kushauri katika ukusanyaji wa mapato.
Ndugu Komba awewataka wakuu wa Idara na vitengo kuwa wazalendo katika kutimiza wajibu wao wa kazi kwani kwa kufanya hivyo watatoa huduma nzuri kwa wananchi na walio chini yao hasa kwa kuzingatia  mwenendo  wa serikali.
“Lazima watumishi tutawaliwe na uzalendo kwa kutumia taaluma zetu,weledi wetu na ubunifu katika kutimiza wajibu wetu”. Amesema Komba.
Amesema uzalendo ni pamoja na kutumia taaluma katika kuwahudumia wananchi hivyo kila Idara iwajibike kusogeza huduma kwa wananchi kwa kuwafuata maali waliko.
Aidha amewataka  kujenga  utamaduni wa kuwasikiliza watumishi walio chini yao hadi ngazi ya kata ili kupunguza malalamiko na kufanya kazi kwa ushirikiano na ufanisi mkubwa kwa  kufanya hivyo wananchi watapokea huduma nzuri.
Pia amezitaka Idara zinazofanya kazi kwa ukaribu na wananchi hasa Idara ya Mipango miji, Maendeleo ya Jamii, Utumishi  na Idara ya fedha kutoa majibu fasaha kwa wananchi na kuweka muda sahihi wa kujibu kero za wananchi. Hii itasaidia kupunguza upotevu wa nyaraka za serikali na huduma kutolewa kwa ufanisi.
Ameongeza kuwa lugha mbaya kwa wananchi, chuki, upotevu wa nyaraka za serikali na ucheleweshaji wa huduma kwa wanachi ndio  kunapelekea  wananchi kujenga chuki kwa serikali yao. Hivyo amewataka watumishi kufanya kazi kwa kuzingatia uzalendo kanuni na sheria za kazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa