• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

DC KASESELA - WAKUU WA IDARA NA VITENGO KUTOKWENDA LIIKiZO

Posted on: December 10th, 2020

Mkuu wa wilaya ya Iringa ndugu Richard kasesela ametoa maagizo kwa Timu ya Menejimenti ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kuhakikisha wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2020 wanapata nafasi .        

 Kasesela ameyasema hayo leo  8/12/2020 katika ukumbi wa Manispaa ya Iringa alipokutana na watendaji hao wa Manispaa kujadili mustakabali wa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 202I.

Kasesela ametoa maelekezo hayo kwa wakuu Idara na vitengo kuacha  kwenda likizo ya krismass na mwaka mpya 2021 badala yake wajiwekee mikakati madhubuti ya kumalizia ujenzi wa vyumba vya madarasa ilikuhakikisha wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza katika Halimashauri hii wanapata nafasi ya kusoma bila kupata changamoto zo zote.

Kwa mujibu wa kaimu Afisa Elimu Manispaa Bi Elitruda Mtewele amesema jumla ya  wanafunzi 1323

 waliochaguliwa kujiunga  kidato cha kwanza hawajapata nafasi ambapo vyumba vya madarasa 27, meza pamoja na viti1590 vinahitajika kwa ajili ya wananunzi hao kujiunga na kidato cha kwanza.

Aidha Mtewela amesema mikakati ya kukakilisha majengo ya madarasa pamoja na madawati imekwishafanyika na wako katika hatua za mwisho za ukamilishaji zoezi hilo.

Nae Mkurugenzi wa Maniapaa ya Iringa Hamid Njovu amemuhakikishia  Mkuu wa wilaya kuwa yuko tayari kutekeleza majukumu hayo pamoja na timu hiyo ya menejimenti kwa haraka na ifikapo Januari 2021, shughuli hizo zitakamilika na wanafunzi watasoma bila tatizo lolote.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa