• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WAKUU WA IDARA WATAKIWA KUANDAA MIKAKATI YA UTEKELEZAJI WA ILANi YA CCM KWA MIAKA MITANO

Posted on: December 19th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ndugu Ally Happi amewataka wakuu wa Idara na vitengo kuwawezesha wananchi kiuchumi kwa kuwapa elimu ya ujasiriamali kama,kilimo  na ufugaji bora wenye tija ili waweze kujikwamua kiuchumi. Kwani kwa kufanya hivyo watajitegemea na kupunguza wimbi la wananchi ambao ni tegemezi.

Kauli hiyo ameitoa leo 19/12/2020, katika ukumbi wa chuo cha afya alipokuwa akizungumza na viongozi mbali mbali wa chama na Serikali Mkoa  wakiwemo  waheshimiwa Wabunge wenyeviti wa Halmashauri  pamoja na wakuu wa Idara na vitengo kutokal  Halimashauri za wilaya,na Mkoa.

Aidha Happi amesema  lengo la kikao hicho ni kuweka mikakati ya kutekeleza Ilani ya CCM ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 -2025.na maelekezo ya Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.John Magufuli wakati wa kufungua bunge la 12 tarehe 13 Novemba 2020.

Katika kikao hicho mada mbalimbali zilitolewa ikiwemo,mafanikio ya utekelezaji wa Ilani ya CCM ya uchaguzi mkuu 2015, Masuala ya uwezeshaji wa wananchi kiuchumi,Nafasi ya serikali za mitaa katika kuimarisha utoaji wa huduma kwa wananchi

Akichangia mada katika kikao hicho Mbunge wa Iringa Mjini mhe. Jesca Msambatavangu amesema ipo haja ya kuwatumia Maafisa Tehama kuhakikisha wanatoa elimu ipasavyo kwa jamii  na kutangaza vivutio vilivyopo katika Mkoa  wetu pamoja na shughuli mbalimbali za kilimo,ufugaji na ujasiriamali.

Akichangia mada katka kikao hicho Mkuu wa wilaya ya kilolo Bi.Asia Abdallah amesema wananchi wanahitaji Elimu na uhamasishaji katika suala la ujasiriamali ili waweze kujikwamua kiuchumi na kupunguza tatizo la ajira.  

Akifunga kikao hicho Happi amewataka wakuu wa idara na vitengo waanzishe kambi kwa wanafunzi wenye madarasa ya mitihani ya kidato cha pili cha nne na cha sita kwenye shule za sekondari ili kuhakikisha wanafunzi wanafaulu vizuri katika  masomo yao,.pia ameagiza kila Halmashauri iwe na karakana kwa ajili ya matengenezo ya meza, viti vya shule na vya Halmashauri vinapoharibika.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa