• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WALEMAVU WANA HAKI YA KUHESABIWA-RC.SENDIGA

Posted on: July 9th, 2022



Rai imetolewa kwa jamii kuhakikisha wanawatoa nje  watu wenye ulemavu ili waweze kuhesabiwa katika Sensa ya watu na makazi itakayofanyika Agosti 2022 mwaka huu.

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe.Queen Sendig katika kongamano na Bonanza la michezo kwa watu wenye ulemavu lililofanyika Julai 9 2022 katika uwanja wa Bustani ya Manispaa ya Iringa.

Aidha Mhe.Sendiga amesema Sensa ni msingi wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii hivyo watu wenye ulemavu  nao wanahaki ya kuhesabiwa kwa kufanya hivyo Nchi yetu itaweza kupanga mipango ya Maendeleo kupitia takwimu hizo.

Mhe.Sendiga amempongeza Mbunge wa viti maalum na Mratibu wa kongamano hilo Mhe.Ritta kabatii ambaye  pia ni mwanzilishi wa mfuko wa Rita kabati kwa kuyajali makundi maalum na kuhamasisha jamii kumuunga mkono.

Ndugu Raymond Nyenza ni Mratibu wa Sensa Manispaa ya Iringa amesema umuhimu wa takwimu zitokanazo na Sensa ni takwimu hizo zitaonyesha uwiano kati ya watoto waliofikia umri wa kwenda shule na wale ambao hawajafikia umri huo,pia  kupanga huduma za afya ya mama na mtot,,huduma za Afya Elimu na kuboresha mazingira ya kazi.

Mhe.Ritta kabati Mbunge wa viti Maalum na Mratibu wa kongamano hilo  amesema lengo la tukio hilo ni kutoa elimu ya sensa na kuhamasisha jamii ushiriki wa makundi maalum kuhesabiwa.

Naye Mjumbe wa kamati kuu  (CCM) Bi.Theresia Mtewele amesema Serikali imeongeza bajeti ya kuhudumia kundi maalum kwa kujua idadi yao.

Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini Mhe..Jesca Msambatavangu amepongeza juhudi zinazofanywa na mhe.Ritta kabati kuwahudumia watu wenye ulemavu katika mahitaji yao muhimu na kusema yuko pamoja katika kuhakikisha kundi hilo haliachwi nyuma.

Katika hafla hiyo iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama na Serikali Mhe.Samia Suluhu Hassan alituma ujumbe kwa wananchi na kuwahakikishia kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iko pamoja nao.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa