• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WALIOOMBA NAFASI YA KAZI YA SENSA MANISPAA YA IRINGA WAFANYIWA USAILI

Posted on: July 20th, 2022


Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imefanya zoezi la usaili kwa walioomba nafasi ya kazi ya muda  ya  Sensa  ya watu na makazi itakayofanyika Agosti 23. 2022.

Raymond Nyenza ni Mratibu wa Sensa Manispaa ya Iringa amesema usaili unafanyika  siku mbili (2) kuanzia tarehe 20-21/7/2022 ambapo  umewahusisha makarani  wa Sensa,Wasimamizi wa Maudhui na wasimamizi wa TEHAMA.

Nyenza amesema wasimamizi wa TEHAMA wanafanya usaili  huo katika ngazi ya wilaya ambapo watafanyia usaili ofisi kuu katika ukumbi wa Manispaa  ambapo Makarani wa Sensa na wasimamizi wa Maudhui wanafanyia usaili katika ofisi za Kata zilizopo Manispaa ya Iringa kuanzia saa 3.00 asubuhi.

Nyenza amesema wamejiandaa vizuri kuhakikisha zoezi hilo muhimu linaenda vizuri  bila changamoto zozote na kuwa muitikio umekuwa mkubwa  kwani idadi ya waombaji wote ni zaidi ya watu elfu nne (4000)

Aidha Nyenza amewataka wasailiwa wote  kujiamini,kujibu maswali kwa usahihi ili waweze kufaulu katika usaili huo na hatimaye kwenda kufanya  kazi hiyo kwa usahihi kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Bi.Christina Mfinanga na Bw.Johnbosko Emmanuel ni wasailiwa wamesema waliomba kazi hiyo kwa kuwa wana sifa,uwezo  na wanaamini watafanya vizuri katika usaili huo hatimaye kuchaguliwa kutekeleza majukumu yatakayokuwa mbele yao kwa mujibu wa mafunzo watakayopewa .

Sensa ya watu na makazi hufanyika kila baada ya miaka kumi (10)  kwa lengo la kujua takwimu sahihi za watanzania  ili kuweza kupanga mipango ya maendeleo kutokana na takwimu hizo, kwa mara ya mwisho Sensa ya watu na makazi ilifanyika mwaka 2012.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa