• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WAMACHINGA MANISPAA YA IRINGA WAMEISHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA TANO KWA KKUWAJALI

Posted on: February 14th, 2018


Wafanya biashara wadogo wadogo halimaarufu kama Machinga waliopo Manispaa ya Iringa wameishukuru Serikali ya awamu yatano inayoongozwa na Docta John Pombe Magufuli kwa kuwajali na kutambua uwepo wao kama wamachinga hususani maeneo ya Mjini.

Shukrani hizo za dhati zimetolewa na Mwenyekiti wa wamachinga pamoja na katibu wao kwenye kikao kilichoitishwa na Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh. Richard Kasesela chenye lengo lakukutana na wamachinga wote pamoja na viongozi wao ili kuweza kuzisikiliza changamoto zinazowakabiri na kuzitatua ikibidi kwa kufuata sheria na kanuni kama tamko la mweshimiwa Rais linavowataka.

Aidha bwana Zeche Zabron Mwenyekiti wa Machinga Iringa Mjini amesema licha ya kuwepo bado na changamoto mbalimbali zinazowakabiri kama kuvamiwa na migambo na kumwaga bidha zao maeneo ya Mjini bado wanamshukuru Mh. Rais Magufuli kwa kutoa agizo la kuwaacha na kuwatengea maeneo rafiki ya kufanya biashara zao Mijini ikiwa nipamoja na kurasimisha biashara hizo kiuwalali na sio kuwafukuza kama mwanzo huku wakiahidi kuiunga mkono Serikali ya awamu ya tano kwa asilimia zote za kimaendeleo hasa kwa machinga ili kufikia Uchumi wa kati kiviwanda ifikapo 2020.

Mwisho Mkuu wa Wilaya Mh. Kasesela amehitimisha kwa kuwataka wamachinga wote kuwa na vitambulisho vitakavyowatambulisha kisheria na eneo husika wanalofanyia kazi, pia amewasisitiza wajiunge na mifuko ya kijamii kama Bima ya afya na ya mafao ya uzeeni ili kuwasaidia kutoka kwenye wimbi la umasikini pamoja nakuweza kupata mkopo kutoka mashirika na taasisi za kifedha 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa