• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WAMILIKI WA NYUMBA ZA WAGENI NA HOTELI MANISPA YA IRINGA WAASWA KUZINGATIA ULIPAJI WA KODI PAMOJA NA KUBORESHA MAENEO YAO YA KAZI

Posted on: December 22nd, 2020

Wamiliki wa nyumba za wageni pamoja na Hotel ndani ya Manispaa ya Iringa wameaswa kuzingatia ulipaji wa kodi kwa uaminifu pamoja na uboreshaji wa huduma wanazotoa katika maeneo yao.

"Mimi naamini endapo mkiwa waaminifu kulipa kodi kwa wakati na kuwa sahihi basi  hakutakuwa na shida za kusumbuana  katika maeneo yenu ya biashara"

Hayo yamezungumzwa  leo tarehe 22/12/2020 na Saad Ishabailu Mwenyekiti wa kamati ya ukusanyaji mapato Manispaa ya Iringa katika kikao kilichowakutanisha wamiliki wa nyumba za wageni na hoteli pamoja na kamati ya ukusanyaji mapato katika ukumbi wa mikutano wa Manispaa

Aidha kikao hicho kimefanyika kikiwa na agenda kubwa ya kujadili masuala ya usimamizi, uendeshaji wa nyumba za kulala wageni na ulipaji wa kodi mbalimbali kwa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa.

Pia katika mazungumzo yake Ndugu.Ishabailu amewataka wadau hao kuboresha mazingira katika biashara zao kwani kwa kufanya hivyo  wateja wao watafurahia huduma zao hasa kuwa na mazingira bora na safi

Sambamba na hayo, wamimiki hao wametoa ombi kwa Serikali kuwapunguzia mlundikano wa kodi ambazo wanazitoa na kuzifanya kuwa katika mlengo mmoja. Alisema ndugu Cosmass Msigwa mmoja wa wamilimi wa Nyumba ya wageni walioshiriki kikao hicho

Nae Mjumbe wa kamati ya ukusanyaji wa mapato Manispaa ya Iringa, ndugu Noel Shilembi aliwataka wadau ambao hawajakata leseni za biashara, kuhakikisha wanafanya hivyo ili kuepusha usumbufu usio wa lazima

Kamati hiyo ya ukusanyaji mapato ilipata fursa ya kusikiliza na kupokea changamoto mbalimbali za wafanyabiashara huku ikiahidi kuzifanyia kazi mara moja.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa