• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WANAFUNZI 11, MWALIMU 1 WAJERUHUWA NA RADI IRINGA

Posted on: January 15th, 2024

Wanafunzi 11 na Mwalimu mmoja wa Shule ya Msingi Uyole, iliyopo katika Halmashauri ya Manispaaya Iringa wamelazwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoani humo baada ya kupigwa na radiwakati wakiendelea na masomo.

Tukiohilo limetokea asubuhi ya Jumatatu ambapo mvua ilikuwa inanyesha na wanafunzihao wa darasa la saba wakiwa darasani.

Mkuuwa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego amefika hospitalini hapo kuwajulia haliwaathirika hao na kueleza kuwa Serikali imefanya jitihada za kuwahudumiawahanga kwa uharaka baada ya kupokea taarifa ya kutokea kwa tukio hilo nakusema hali zao zinaendelea vizuri.

MstahikiMeya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada amewasihiwananchi kutohusisha tukio hili na imani za kishirikina na waamini ni tukiolinaloweza kutoka muda wowote na sehemu yoyote hivyo wasihusishe na vituvingine.

“Nichukuefursa hii kutoa wito kwa wananchi ambao wamepeleka watoto wao katika shule hiiwasiwe na hofu na watambue hili ni tukio la kawaida kama matukio mengine naninaomba msihusishe tukio hili na imani za kishirikina kwani inaweza kutokeasehemu yoyote, natamka haya kwasababu nasikia kuna baadhi ya wananchi wanahusishana imani za kishirikina, kitu ambacho hakipo” Amesema Ngwada

MstahikiMeya aliongeza kwa kusema amepokea na kuufanyia kazi ushauri uliotolewa nawananchi juu ya kufanyika kwa Dua/Maombi katika shule hiyo ili kuondoa mikosi. 

Mkuuwa Idara ya Magonjwa ya Dharula wa Hospitali ya Rufaa Mkoani Iringa Dkt. HurumaMwasipu amethibitisha kupokea wahanga wa tukio hilo na kusema kuwa walifikishwawakiwa na majeraha madogo madogo na kupatiwa matibabu huku wengine wakitarajiwakuruhusiwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa