• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

*WANAFUNZI WAPYA 3613 KUPATIWA NAFASI KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA JANUARI 11* ```MANISPAA YA IRINGA```

Posted on: December 22nd, 2020

Timu ya wataalamu kutoka Ofisi ya katibu Tawala Mkoa  imetembelea na kukagua Miradi ya shule za Sekondari zilizopo Manispaa ya Iringa kwa lengo la kuona maendeleo yake ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu kassim Majaliwa kuwa kila Halmashauri ihakikishe wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza wanapata madarasa ya kutosha kusomea

Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa katika  ziara hiyo ni Shule ya Sekondari ya Nduli, Shule ya Sekondari Kihesa, Shule ya Sekondari Mtwivila(umoja), Shule ya Sekondari  Mlamke,Shule ya Sekondari Mkwawa, Shule ya Sekondari Isakalilo, Shule ya Sekondari Mlandege, Shule ya Sekondari Igumbilo na Sekondari ya Ipogolo

Akitoa taarifa kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa,  Kaimu Afisa Elimu Sekondari Elitruda Mtewele amesema jumla ya wanafuzi 3613  wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza Manispaa ya Iringa ambapo ana uhakika wanafunzi wote watapata nafasi ya kuendelea na masomo kutokana na jitihada za umaliziaji ujenzi wa madarasa zinazofanywa na uongozi wa Halmashauri

Naye Mkurugenzi Manispaa ya Iringa Hamid Njovu ameishukuru timu hiyo ya wataalamu kutembelea miradi hiyo kwani imekuwa chachu ya kuongeza jitihada za umaliziaji ujenzi kwa wakati na ameahidi kusimamia vyema ujenzi huo kuwa ifikapo januari 11 wanafunzi wote waliochaguliwa  wataingia madarasani bila wasiwasi wo wote

Naye Katibu Tawala msaidizi Uchumi na Uwezeshaji ndugu Elias Luvanda amesema uongozi wa Mkoa unathamini kazi za ujenzi wa miradii inayoendelea kutekelezwa Manispaa na ameshauri Halmashauri kuwa na mipango mikakati ya utekelezaji miradi hiyo pia iongeze usimamizi kwa fedha wanazopeleka katika miradi hiyo na  waongeze idadi ya mafundi ili kuongeza kasi ya ujenzi ili kumaliza kwa wakati Pia ameitaka Halmashauri kupima maeneo ya shule ili maeneo hayo yawe na hati miliki

Ziara hiyo ilifanyika tarehe 22/12 mwaka huu na kuhudhuriwa na timu ya Menejimenti ya Manispaa ya Iringa ikiongozwa na Mkurugenzi wa Manispaa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa