• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WANANCHI KATA YA NDULI WAPONGEZA JITIHADA ZA MBUNGE NA DIWANI WAO | UJENZI MPYA SHULE YA MSINGI KIPULULU

Posted on: June 2nd, 2021

Wananchi wa Kata ya Nduli, Mtaa wa Kupululu  Manispaa ya Iringa wamempongeza Diwani wa kata hiyo Mhe. Bashiri Mtove  kwa jitihada anazofanya  kusaidia ujenzi wa Shule mpya ya Msingi ambayo itapunguza changamoto katika Sekta ya Elimu kwenye Kata hiyo

Mhe. Mtove akizungumza na wananchi hao wakati akikabidhi mifuko 30 ya saruji leo tarehe 2.06.2021 kwa niaba ya Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini Mhe. Jesca Msambatavangu, amesema anatamani kuona wanashirikiana vyema na wananchi katika kukamilisha ujenzi huo ambao utaleta manufaa katika jamii

Aidha Mhe. Mtove amewashukuru wananchi  kwa kujitoa kwaajili ya ujenzi huo mpaka hapo ulipofikia na kuwaahidi  kuwa ataendelea kuwashirikisha wadau wengine watakaosaidia kuongeza nguvu ya umaliziaji wa jengo hilo

Baton Zakaria Nzalarila ni Mwenyekiti wa Mtaa wa  Kipululu, ametoa shukrani kwa niaba ya wananchi  kwa Mhe. Mbunge na Diwani wao kwa kujitoa katika ujenzi huo huku akiwaomba wadau wengine kujitokeza kuwasaidia kuongeza nguvu ili kufikia malengo waliyokusudia

"Tunaamini mradi huu utakapokamilika  utatatua changamoto zilizopo katika Sekta ya Elimu na kufanya wanafunzi  kupata Elimu kwa urahisi kwani kwasasa hutembea umbali mrefu kwenda shuleni" alisema Witness Kiwele, mmoja wa wakazi katika mtaa wa kipululu 

Bi. Faustina Mdete ambaye ni Mjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Kipululu ameeleza kuwa moja ya tatizo la watoto wao kushindwa kufanya vizuri kitaaluma ni umbali wa shule ambazo wanasoma hivyo ameiomba Serikali kuwasaidia kwa haraka ili kuepukana na changamoto hiyo

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa