• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WANANCHI WATAKIWA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA UVIKO-19

Posted on: September 28th, 2021

Imeelezwa kuwa upotoshwaji wa baadhi ya watu kuhusu chanjo ya UVIKO-19 ndiyo sababu kubwa ya wananchi kusuasua kujitokeza kupata chanjo hiyo.

Hayo yamesemwa jana na Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Mohamed Moyo katika Ukumbi wa mikutano wa Manispaa wakati wa kikao  cha kamati ya Afya ya Msingi ambayo iliwajumuisha wajumbe na wadau mbalimbali wa afya.

Mh. Moyo amewataka wajumbe wa kikao hicho kuwa makini kupokea elimu inayotolewa na wataalamu na kuwa mabalozi wazuri kuhamasisha jamii iweze kuchanja kwa hiyari.

Aidha Mhe Moyo ametoa rai kwa wananchi wa Manispaa kuunga mkono jitihada za Serikali za kudhibiti ugonjwa wa UVIKO-19 kwa kuendelea kuzingatia miongozo inayotolewa na wizara ya Afya. 

Wakizungumza baada ya mafunzo hayo baadhi ya wajumbe na wadau waliohudhuria kikao hicho walisema Taasisi za dini, Wanasiasa na vyombo vya habari vikitumika ipasavyo vinaweza kusaidia katika mapambano dhidi ya ugonjwa huo pamoja na chanjo kwa kuwa wana Rasilimali watu.

Naye Mratibu wa chanjo Manispaa ya Iringa  bwana Khamis Omary amesema chanjo ya UVIKO-19  ni kinga pia inasaidia mtu akipata Maambukizi asipate madhara makubwa.

Viongozi wa dini wa Manispaa wamesema wako tayari kutoa ushirikiano kwa wataalamu wa afya kutoa elimu ya ugonjwa huo kwenye nyumba za ibada hivyo wataalamu wawape ratiba ili waendelee kutoa elimu mara kwa mara kwa kufanya hivyo itasaidia kuleta uelewa wa kutosha katika jamii.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa