• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WANAUME KATA YA KIHESA WAFIKIWA KATIKA KAMPENI YA MALEZI NA KUPINGA UNYANYASAJI NA UKATILI

Posted on: May 29th, 2021

Wananchi wa Kata ya Kihesa, Manispaa ya Iringa wameaswa kuzingatia usawa wa baba na mama katika malezi ya watoto na kukemea suala la unyanyasaji wa kijinsia kwa wanawake na watoto

Hayo yameelezwa na Maafisa Ustawi wa Jamii kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Manispaa ya Iringa siku ya jana mei 29, 2021 katika mkutano wa hadhara uliohusu kampeni ya ushirikishwaji wa wanaume katika suala la malezi pamoja na kupinga unyanyasaji wa kijinsia na ukatili kwa watoto

Akizungumza katika hadhara hiyo Bi. Josephine Mwaipopo ambaye ni Afisa Ustawi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa amesema watoto na wanawake ni makundi yanayoathirika zaidi kutokana na ukatili wa kijinsia hali inayopelekea kupungua kwa nguvu kazi katika uzalishaji hivyo, kuitaka jamii hiyo kuepukana na matendo ya namna hiyo

Sambamba na hilo Bi.Josphine amewataka wazazi kuimarisha ulinzi wa watoto wao dhidi ya matukio ya ubakaji na ulawiti ambayo kwa sasa yameonekana kuripotiwa sana katika ofisi za ustawi na vituo vya polisi

William Rashid Mkazi wa semtema A amesema utandawazi unasabibisha kutokea kwa ukatili wa kijinsia hasa kwa watoto wa kike kwasababu hutumia nafasi ile kuyaiga mambo yasiyo na maadili na kuyafanya katika jamii kiuhalisia hali inayosababisha kutokukoma kwa matendo ya ubakaji na ulawiti  

Aisha Mabruk ni  mkazi wa Semtema amesema ukosefu wa hofu ya Mungu kwa jamii nzima pamoja na imani za kishirikina zinachangia kufanyika kwa matendo ya ukatikili wa kijinsia, ubakaji na ulawiti kwa mtazamo wa kudhani ndio mafanikio  kuitaka jamii kuacha tabia hiyo mara  moja

David Swebe, Mtendaji wa Kata ya Kihesa amewashukuru waratibu wa mkutano huo uliofanyika katika eneo la uwanja wa Semtema B kwa utowaji wa elimu dhidi ya kupinga unyanyasaji na ukatili wa kijinsia na amewataka wanachi kuzingatia maadhimio mbalimbali waliyokubaliana katika kutokomeza vitendo hivyo ikiwemo kutoa taarifa mara moja  zenye kuashiria au kutokea kwa vitendo hivyo na sio kuyamaliza wenyewe, kutoa elimu kwa kila kaya, kuimarisha ulinzi na malezi bora ya wazazi wawili kwa watoto wao na jamii kwa  ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa