• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WANAWAKE KUUMALIZA UPINZANI IRINGA.

Posted on: August 23rd, 2020

MGOMBEA Ubunge katika jimbo la Iringa mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Jesca Msambatavangu amewataka wanachama wa chama hicho kushirikiana kwa pamoja ili kuhakikisha wanalinyakua jimbo hilo.

Ametoa kauli hiyo wakati wa hafla maalum ya mapokezi yake, yaliyoandaliwa kwa ajili ya kumtambulisha rasmi kwa wanachama wa CCM pamoja na kutafuta wadhamini, tukio lililofanyika katika ukumbi wa Chama hicho, uliopo eneo la Sabasaba mjini hapa.

Aidha Msambatavangu amewataka wapinzani kujiandaa kisaikolojia, kwani watashughulikiwa kikamilifu katika sanduku la kura, huku akijigamba kuwa watafanya hivyo kupitia kwa umoja wa wanawake wa CCM (UWT) pekee, kabla ya wanachama wa jumuiya nyingine.

Ndugu Msambatavangu alipata fursa ya kuzunguka na kutambulishwa kwa wananchi wa maeneo ya Kihesa kilolo, Mashinetatu na Samora ambapo wananchi wengi walionekana kufurahishwa na mgombea huyo, huku wakieleza kuwa ndiye jibu la kero zao.

Awali Mwenyekiti CCM wilaya ya Iringa mjini, Ndugu Said Rubeya amesema kwa muda mrefu chama hicho kimekuwa kikihitaji mgombea atakayeshughulika na shida za watu; na amesema

Ndugu Jesca ni mtu sahihi kwani ni chaguo la watu. Hata hivyo Mwenyekiti huyo, amewaomba wanachama wote wa CCM kuunganisha nguvu zao ili kuhakikisha kuwa wanalirudisha jimbo hilo, lililokuwa chini ya chama cha upinzani, katika usimamizi wa chama chao.

Mapokezi ya mgombea huyo yamepambwa na maandamano makubwa yaliyohusisha wanachama, bajaji, bodaboda na magari huku kivutio kikubwa kikiwa gari kubwa maalum litakalotumika wakati wa kampeni za CCM mkoani hapa mwaka huu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa