• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

wanawake na vijana wanufaika na mkopo manispaa ya iringa

Posted on: April 24th, 2018

  “Fedha mlizozipata  mzitumie kwaajili ya biashara na malengo kusudiwa na si vinginevyo ili wakati wa kufanya marejesho msiyumbe kurejesha fedha hizo”Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Richard Kasesela alipokuwa akifungua sherehe za utoaji wa mikopo kwa vikundi vya wanawake na vijana kutoka katika kata 18 zilizo katika Manispaa ya Iringa wenye thamani ya shilingi milioni 140.

 Amesema mikopo inayotolewa inatakiwa kurejeshwa kwa wakati ili wananchi wote wa Manispaa ya Iringa waweze kunufaika na mikopo hiyo. Aidha amewataka Maafisa Maendeleo ya Jamii na Ofisi ya Mkurugenzi kuendelea kutoa elimu ya ujasiliamali kwa wananchi kwani kwa kufanya hivyo mikopo inayotolewa itatumika kwa malengo kusudiwa.

Akikabidhi hudi kwa vikundi  42, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mheshimiwa Alex Kimbe amesema fedha zilizotolewa zimetoka katika makusanyo ya ndani ya Manispaa, hivyo wananchi wote kwa awamu wanatakiwa kufaidika na mkopo huo ambao unatolewa kwa marejesho ya mwaka mmoja. Ameongeza kuwa katika sherehe za mbio za mwenge mwaka huu mwezi wa tano vipo vikundi vingine ambavyo vitapata mkopo kutoka Manispaa hivyo wananchi wajitokeze kupitia kata zao weweze  kuonana na maafisa maendeleo ya Jamii ili kupata taratibu za mikopo hiyo.

 Sherehe ya kukabidhi hudi kwa vikundi imefanyika katika ukumbi wa  hallfaer  uliopo katika Kata ya Kitanzini Manispaa ya Iringa na  kuongozwa na  Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa, Mkuu wa Wilaya,  Madiwani, Maafisa Maendeleo ya Jamii pamoja na wataalamu  mbalimbali.

Aidha katika kipindi cha mwaka 2017/2018 Manispaa ya Iringa imetenga kiasi cha shilingi 418,082,700/= ambayo ni asilimia 10 ya mapato ya ndani kwaajili ya mikopo kwa vikundi vya vijana na wanawake ambapo mpaka sasa Manispaa imeshatoa mikopo nyenye thamani ya shilingi milioni 250 sawa na asilimia 60.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa