• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WANAWAKE, VIJANA, WALEMAVU MKOA IRINGA 'WAJAZWA MAPESA

Posted on: November 23rd, 2021

Na Mwandishi Wetu, Iringa

Waziri wa  Nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI),   Ummy Mwalimu amekabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi bilioni 1,143 ,749,140  iliyotolewa kwa vikundi vya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu Mkoani Iringa.

Mhe.Ummy amekabidhi hundi hiyo leo Novemba 23, 2021 kwenye kongamano la uwezeshwaji wanawake kiuchumi na kijamii tukio ambalo lilishuhudiwa na viongozi mbalimbali wa chama na Serikali na kufanyika ukumbi wa Kichangani Manispaa ya Iringa.

Alisema ni jukumu la kila Halmashauri ya wilaya na Mji kuhakikisha zinatenga asilimia kumi ya mapato yake ya ndani kwa ajili ya kuwawezesha kiuchumi wanawake,vijana na watu wenye ulemavu.

"Sitamuonea aibu Mkurugenzi yeyote ambaye hatatenga na kutoa fedha kwa wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu," alisema Mhe.Ummy.

Awali akimkaribisha mgeni rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe.Queen Sendiga alisema lengo la kongamano hilo ni kuwaunga mkono kinamama wajasiriamali,  kujadili fursa za kijamii, kupeana uzoefu na kujifunza kwa waliofanikiwa na namna ya kutatua changamoto zinazojitokeza.

Naye Mbuge wa jimbo la Iringa mjini, Mhe Jesca Msambatavangu,  aliwaasa kina mama kuwalea watoto wao vizuri kwani kwa kufanya hivyo itapuguza matukio ya ubakaji na ulawiti .

Katika kongamano hilo mada mbalimbali zilitolewa   pamoja na ulinzi na usalama kwa mtoto, Uchumi,Afya ya akili,Saikolojia na  lishe.

Jumla ya vikundi 131  vimenufaika na mkopo wa wanawake,vijana na watu wenye ulemavu ambapo Halmashauri ya Manispaa ya Iringa  wametoa sh milioni 92,000,000 kwenye vikundi 23 kwa kipindi cha Julai-Septemba,

Halmashauri ya wilaya ya Iringa wametoa sh m 272.,000,000 kwa vikundi 33 huku kilolo wakitoa sh m 204,000,000 ambazo zimetolewa kwa  vikundi 15

Mafinga imetoa  shilingi  m 249,169,140 kwa vikundi 11 na Mufindi wametoa jumla ya sh m.326,580,000  kwa vikundi 19.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa