• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WANAWAKE WAPEWA ELIMU

Posted on: March 7th, 2024

WANAWAKE WAPEWA ELIMU


kuelekea Maadhimisho ya siku ya Mwanamke Duniani, Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imefanya kongomano la WANAWAKE tarehe 5-03-2024 katika ukumbi wa shule ya Sekonari Lugalo ambapo wataalamu wametoa elimu ya Bashara, lishe na ujasiriamali  wanawake na Uongozi ambapo wanawake wamejitokeza kwa wingi katika Kongamano hilo.


Afisa Maendeleo ya jamii wa Manispaa, Ndg. Paul Mpwehwe amesema lengo la kuaandaaa kongomano hilo ni kuona jinsi gani wanawake wanazigeuza changamoto kuwa fursa .


Aidha Mpwehe amewataka washiriki kusikiliza  kwa umakini  mafunzo hayo ambayo  wataalamu mbalimbali wametoa elimu ili kumuinua na kumjenga mwanamke katika jamii anayoishi.


Mhe. Dora Nziku ni muwakilishi wa  Mwenyekiti waKamati ya Sherehe hiyo ya wanawake Manispaa  amewasihi akina mama waweze kujitokeza kwa wingi katika mambo ya uongozi pasipo kuwa na uoga wowote  na kuwa wanawake wasikubali kubaki nyuma kama zamani.


"WANAWAKE wenzangu hiki ni kipindi Cha chaguzi mbalimbali hivyo jitokezeni mkagombee nafasi za uongozi kwenye maeneo yenu, tujiamini kwani tunaweza saana."


Nziku amesema maneno hayo alipokua akifunga kongamano hilo la WANAWAKE ambalo lilifana kwa kuwa wanawake walipata kujifunza masuala mbali mbali ikiwa pamoja,kubadilishana uzoefu, kuwaleta WANAWAKE pamoja na kuimarisha mshikamano wao.


Kongamano hilo la siku moja lilihudhuriwa na wanawake wajasiriamali ,wafanyabiashara,watumishi wa Serikalini,viongozi wa vyama mbali mbali vya siasa , Chama cha Mapinduzi,Taasisi na Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali.


Machi 8 kila Mwaka Duniani kote huazimisha Siku ya Mwanamke Duniani ambapo kilele cha Maadhimisho hayo Ki .Mkoa yatafanyika siku ya Alhamis katika Uwanja wa Samora na Mgeni rasmi atakuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe.Halima Dendego.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa