• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WATAALAM SEKRETARIETI MKOA/MANISPAA YA IRINGA WASHAURIWA KUSHIRIKISHA WANANCHI KATIKA SHUGHULI MBALI MBALI

Posted on: July 20th, 2021

Wataalam kutoka Sekretarieti ya Mkoa na Manispaa ya Iringa wameshauriwa kuimarisha mifumo iliyopo katika Sekta za  umma kwa kuishirikisha jamii katika masuala mbalimbali ili kuimarisha utawala bora.

Nazar Sola ni Mshauri wa Utawala Bora na Ushirikishwaji wa Wananchi Mradi wa Uimarishaji mifumo ya sekta za umma  PS3+ akitoa mafunzo katika   ukumbi wa mikutano wa Manispaa amesema  jukumu lake kubwa ni kujua namna gani mikutano  ya kisheria inafanyika, namna ambavyo  tovuti za Halmashauri na za Mikoa zinaendeshwa na zitoe taarifa gani kwa wananchi,namna gani matumizi ya mbao za matangazo yanasimamiwa na kuratibiwa  na jinsi gani  masanduku ya maoni yanaratibiwa.

Aidha Sola amesema Utawala Bora na ushirikishwaji jamii unatekelezwa katika mikoa 13  ambayo ni Kagera,Mwanza,Mara, ,Kigoma,Rukwa,Mbeya, Iringa Shinyanga,Njombe,Dodoma, Morogoro, Lindi na Mtwara ambapo wamebaini mapungufu kidogo ikiwemo kusahaulika kwa wananchi wa hali ya chini kwa kutokushirikishwa katika masuala ya kijamii kutokana na njia zinazotumika kutoa taarifa kutowafikia.

Sola amesema ipo haja ya kuwafikia wananchi hao ambao hawawezi kupata taarifa kupitia Radio,Luninga,au magazeti na wanaoshindwa kufika kwenye mbao za matangazo kwa kuwafata katika maeneo ya mikusanyiko kama vile maeneo ya masoko,vituo vya mabasi,kwenye nyumba za lbada, zahanati, vituo vya afya na Hospitalini kwa kubandika matangazo maeneo hayo kwa lengo la kuwapa taarifa wananchi

Asha Kitegile ni kaimu Mkuu wa Idara ya utawala na Rasilimali watu  ameshukuru kwa mafunzo hayo na kuahidi kuyatendea kazi mapungufu yaliyojitokeza kwa manufaa ya Manispaa na jamii kwa ujumla

Mkutano huo wa siku moja umefanyika tarehe 20/7/2021 ambapo umewashirikisha  wajumbe kutoka sekretarieti ya  Mkoa pamoja na baadhi ya wakuu wa Idara na vitengo, kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Iringa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa