• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WATENDAJI WA KATA NA MITAA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA UUZAJI WA VIWANJA NA ARDHI KATIKA MAENEO YAO

Posted on: March 1st, 2018

“ Ni marufuku watendaji wa Kata na Mitaa katika Manispaa ya Iringa kujihusisha na uuzwaji wa viwanja katika maeneo yenu au kuwa mashahidi ili kuepuka migogoro ya ardhi katika maeneo yenu.” Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Bi, Amina Masenza alipokuwa na kikao kazi katika yake na watendaji wa Kata na Mitaa katika ukumbi wa community centre Manispaa ya Iringa.

Amesema migogoro mingi ya ardhi inakuja kugundulika kuwa hata watendaji wa serikali wanahusika kutokana na kuwa mashahidi wa wanao nunua ardhi hivyo kukuza migogoro ya ardhi katika Manispaa ya Iringa.
Amesema watendaji wa kata na Mitaa wanatakiwa kutatua kero za wananchi kwa kufanya mikutano ya hadhara katika Kata na Mitaa yao kwani watendaji wa Kata ndio walinzi wa amani katika kata zao.

“ Migogoro mingi inaweza kutatuliwa ngazi ya Kata ila kwakuwa hamtimizi majukumu yenu na kukwepa majukumu mnawaandikia wananchi barua na kuwaambia waende ngazi ya wilaya wakati uwezo wa kutatua migogolo kwa ngazi ya Kata mnayo.” Kila mmoja atomize wajibu wake.” Mkuu wa Mkoa wa Iringa Bi, Amina Masenza.

Aidha, amewataka watumishi wote ngazi ya kata kuwa na mipango kazi inayotekelezeka na kufanya tathmini ya kazi zao ili kuweza kujipima.

Kikao hicho kimehuhuriwa na viongozi mbalimbali ngazi ya Mkoa, mkurugenzi manispaa, wakuu wa idara pamoja na watendaji wa Kata na watendaji wa mitaa ambapo Manispaa kuna jumla ya mitaa 192.

Habari zaidi tembelea tovuti ya Manispaa

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa