• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WATU WENYE ULEMAVU WAPEWA VIUNGO VYA BANDIA MANIAPAA YA IRINGA

Posted on: February 19th, 2021

Watu wenye ulemavu wametakiwa  kutumia fursa ya kupewa viungo vya bandia ili kufanya shughuli zao za kuwaletea maendeleo na kuawainua kiuchumi kiurahisi

Hayo yamesemwa leo tarehe 19/2 /2021 na Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia watu wenye ulemavu Ummy Nderiananga katika Ukumbi wa Orofea uliopo Manispaa ya Iringa ambapo alikuwa mgeni rasmi katika shughuli ya ugawaji wa viungo vya bandia

Mh.Nderiananga amesisutiza kuwa walemavu siyo watu wadhaifu bali wana uwezo wa kufanya shughuli yeyote kwa ufanisi kama watu wengine  hivyo kuwashukuru kampuni ya Kamal ambayo imewapa walemavu wa Manispaa vifaa bila gharama  yeyote vifaa hivyo vimewapa  ujasiri zaidi wa kuweza kufanya shughuli zao bila hofu yeyote na kwa ufanisi hivyo kuwaongezea kipato na kutegemewa katika familia na jamii kwa ujumla

Aidha waziri ameishukuru kampuni ya Kamal kwa moyo wa upendo waliouonyesha na kurudisha matumaini yaliyopotea kwa walemavu hao

Pia amemshukuru Mhe.Mstahiki Meya Manispaa kwa mikakati mizuri alinayo juu ya walemavu.

Mwakilishi wa chama cha mapinduzi Mkoa katibu Said Kaduro amewataka walemavu kutokukata tamaa badala yake kuwa wajasiri katika kutafuta maendeleo kwani uwezo na nguvu wanazo.

Pia anawashukuru Mbunge na Mstahiki Meya pamoja na watendaji wote kwa kutekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi

Mstahiki Meya Manispaa ya Iringa mhe.Ibrahim Ngwada amesema  ataendelea kuunga mkono  jitihada za wadau wanaotaka kutoa Misaada kwa watu wenye ulemavu ili  kuhakikisha wanafanya hivyo bila kupata vikwazo

Mh. Rita Kabati Mbunge viti maalum Mkoa wa Iringa  amesema anatambua na kuthamini jitihada zilizofanywa na timu ya madaktari kutoka kampuni ya Kamal kwa moyo wao wa kipekee kwa huduma nzuri ya kuwapima mpaka kuwapatia viungo vya bandia  ambavyo vitarahisisha maisha na utendaji kazi wa watu wenye  ulemavu Zaidi ya 51

Mh.Rita amekemea tabia ya baadhi ya watu kuwatumia walemavu kama kitega uchumi amesema jambo hilo halileti afya katika jamii yetu

Aidha mh.Kabati amemuomba Naibu waziri kuangalia namna ya kuwasaidia kinamama wanaojifungua watoto wenye ulemavu kwani mara nyingi waume zao huwanyenyepaa na  kuwakimbia hivyo kujikuta katika wakati mgumu wa kulea watoto hao peke yao

Kampuni ya Kamal ya Jijini Dar es Salaam inajihusisha na kutengeneza vifaa vya bandia kwa walemavu Nchini Tanzania tayari wamekwishatoa vifaa zaidi ya 3500 na wanatarajia kugawa vifaa 2500 kwa kipindi hiki na kwa Manispaa ya Iringa wametoa vifaa 51 na kuwapima walemavu 32

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa