• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WATUMISHI ZINGATIENI KANUNI NA MIONGOZO - DC KHERI JAMES

Posted on: March 19th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Mhe. Kheri James amewataka watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kuzingatia miongozo na kanuni za utumishi wa umma katika utendaji kazi pindi wanapokuwa katika majukumu yao.

Akizungumza hayo katika  ukumbi wa Manispaa amesema ili Halmashauri ifanye kazi vizuri watumishi wanapaswa kuzingatia mambo muhimu matano ambayo ni Utawala wa Sheria, Haki, Usawa, Maendeleo pamoja na Umoja na Mshikamano.

“Ili tufanye wajibu wetu vizuri jambo la kwanza ni kufahamu kwamba nchi hii inaongozwa kwa mujibu wa katiba, sheria, kanuni, taratibu, miongozo, maamuzi ya vikao na maelekezo ya viongozi yasiyokinzana na utawala wa sheria pamoja na mahitaji ya wakati. Huu ndio msingi wa utawala wa nchi yetu, kila mmoja anapofanya majukumu yake kama ni maneno au matendo ajiulize ni kwa kiwango gani yameheshimu mambo haya yote ". Amesema Kheri.

Aidha, Kheri amewaonya watumishi juu ya tabia binafsi zisizofaa miongoni mwao kama vile uongo, uzushi, majungu na kujipendekeza kwa wakubwa kwani inapelekea kuathiri mfumo wa utendaji kazi wa Serikali lakini pia zinashusha heshima ya Taasisi.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Wakili Nicholaus Mwakasungula amemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kufika mahali hapo ili kufahamiana na watumishi na pia kwa nasaha na ushauri aliotoa kwa watumishi. Ameahidi kusimamia utekelezaji wa maagizo yote yaliyotolewa na Mkuu wa Wilaya.

Mhe. James amefanya kikao na watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kwa lengo la kufahamiana  na watumishi kwani amewasili Mkoani Iringa hivi karibuni mara baada ya mabadiliko ya uongozi yaliyofanywa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu  akitokea Wilaya ya Mbulu.

Aidha kauli mbiu ya Mkuu wa Wilaya Mhe. Kheri James inasema “Iringa Imara, Tutaijenga kwa Umoja na Uwajibikaji”.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa