• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

WENYEVITI WA MITAA WAASWA KUWALINDA WATOTO DHIDI YA VITENDO VYA UKATILI

Posted on: January 12th, 2021

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada ametoa wito kwa wenyeviti wote wa Serikali za mitaa  Manispaa ya Iringa kuwalinda watoto na ukatili wa kijinsia  kwani kwa kufanya hivyo itasaidia kupunguza wimbi la matukio ya ulawiti na ubakaji ndani ya Manispaa yetu  

Hayo yamesemwa leo tarehe 12/01/2021, katika ukumbi wa Orofea  ambapo Mhe. Ngwada alikuwa mgeni rasmi katika mafunzo ya siku tatu ya ulinzi na usalama wa mtoto kwa wenyeviti hao

Mhe. Ngwada amesema kesi nyingi za ukatili mara nyingi zinaishia kwenye mitaa  kwani wahusika wa vitendo hivyo ni kama majirani, ndugu wa karibu au marafiki wa karibu wa waathirika wa ukatili hivyo amewataka wenyeviti kutokuyafumbia macho matukio hayo bali kuwajibika kikamilifu kuhakikisha wanamaliza kabisa tatizo hilo katika mitaa yao

Nae Mwenyekiti wa Umoja wa vijaja CCM Wilaya ndugu Salvatory Ngelela amesema ustawi wa vijana katika jamii unategemema sana usalama wa watoto hivyo kuitaka jamii kuwalinda watoto waweze kutimiza ndoto zao

Tinieli Mbaga ni Afisa ustawi wa Jamii Manispaa ya Iringa awali akimkaribisha mgeni rasmi  amesema lengo la mafunzo hayo kwa wenyeviti wa mitaa ni kuwajengea uwezo ili waweze kudhibiti wimbi la vitendo hivyo viovu ambavyo vimekuwa vikishamiri siku hadi siku dhidi ya watoto wetu

Naye Mwenyekiti wa Mtaa wa Gangilonga Dr. Mengele ameshukuru kupata mafunzo hayo kwani yatawasaidia kupambana na matukio ya aina hiyo na kuwa hawako tayari kuyafumbia macho  katika mitaa yao watahakikisha sheria inafata mkondo wake dhidi ya watuhumiwa watakaobainika

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa