• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

ZAIDI YA MILIONI 300 KUTOLEWA NA ELIMU BURE KWA WAJASIRIAMALI MANISPAA YA IRINGA

Posted on: December 15th, 2020

Mbunge wa Iringa mjini Mh. Jesca Msambatavangu ameahidi kutoa elimu bure ya wajasiriamali ndani ya Manispaa itakayowasaidia kujikwamua kiuchumi

Hayo ameyaahidi leo tarehe 15/12/2020, katika kongamano la elimu kwa vikundi vya wajasiriamali Manispaa ya Iringa lililofanyika katika ukumbi wa Kichangani, likiwa limeandaliwa chini ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa kupitia Ofisi ya Maendeleo ya Jamii

Mhe. Jesca ameendelea kuwaambia wajasiriamali hao kuwa Iringa inafursa nyingi hasa katika sekta ya kilimo hivyo na wao wasisite kulima maana kilimo ni  uti wa mgongo kwa Taifa letu.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh. Richard Kasesera akiwa ameambatana na Mbuge nae amewataka wajasiriamali hao kuzingatia mafunzo wanayopatiwa kwani kupitia wataalamu hao, wengi wamefanikiwa kukua kiuchumi.

"Fanya hayo yote ila usipomcha Mungu hutaambulia kitu maana yeye ndie mtoa vyote, vivyo hivyo  wajasiriamali mjitahidi kutumia fursa mbalimbali za kimaisha katika kujiongezea kipato " Kasesera aliongezea hayo kama sehemu ya hamasa kwa washiriki waliohudhuria mafunzo

Nae Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Ndugu. Hamid Njovu amewataka wajasiriamali hao kubadilisha mtazamo wa maisha katika biashara zao, sambamba na hilo amegawa vyeti kwa wadau mbalimbali wanaoshirikiana kikamilifu katika shughuli za ujasiriamali ndani ya Manispaa.

Mwantumu Dosi ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii wa Manispaa ya Iringa  amewataka viongozi wa makundi hayo ya wajasiriamali kujitahidi kusimamia namna ya utumiaji wa mikopo wanayopatiwa pamoja na shughuli wanazozifanya ili zilete tija kwao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa