• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

ZIARA YA KIKWETE IRINGA FURAHA KWA WATUMISHI WA UMMA

Posted on: November 22nd, 2023

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete ametoa rai kwa Maafisa Utawala na Rasilimali watu kushughulikia kero za watumishi na kuitisha mikutano ya ndani ili kupata majibu ya changamoto zilizopo ndani ya Mkoa.

Mhe. Kikwete amesema hayo akiwa katika ukumbi wa “Siasa ni Kilimo” wakati akizungumza na watumishi kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa na  Halmashauri ya Manispaa ya Iringa katika ziara yake Mkoani humo na kutoa fursa ya watumishi kueleza changamamoto na kero mbalimbali wanazokumbana nazo katika utumishi wa umma na maeneo yao ya kazi kwa ujumla.

“Maafisa Utawala na Rasilimali watu muwe na utaratibu wa kusikiliza kero za watumishi na kuzitatua kwa manufaa ya taifa la kesho, na pia natoa rai yangu mfanye mikutano ya ndani kwani hii inasaidia kutatua changamoto, msisubiri mpaka aje Waziri au Naibu Waziri ndipo mzungumze na watumishi, itisheni mikutano yenu.” Amesema Mhe. Kikwete

Mhe. Kikwete ametoa ufafanuzi kwa watumishi juu ya hoja zilizoibuliwa na kuacha maagizo kwa Maafisa Utawala na Rasilimali watu kushughulikia stahiki za watumishi kama vile Nyongeza ya mshahara, Kupandishwa madaraja, Pesa ya kujikimu kwa watumishi wapya, Malipo ya likizo, Matibabu, Uhamisho, Malipo ya pensheni kwa wastaafu pamoja na  vitendea kazi katika ofisi.

Aidha Mhe. Kikwete ameiagiza Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kuwapa barua vijana 37 kati ya 47 waliokuwa wakijitolea kukaimu nafasi ya Utendaji wa Mitaa na kufanya usaili Septemba 2023.

Mkutano huu unalengo la kushughulikia masuala ya utumishi wa umma mkoani Iringa na umehudhuriwa na Katibu Tawala Mkoa, Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Katibu Tawala Wilaya, Waheshimiwa Wabunge, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Viongozi wa TASAF kutoka Makao Makuu na watumishi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa