• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

ZIARA YA MKUU WA MKOA ALLY HAPI MANISPAA YA IRINGA YAWAFIKIA WANANCHI WANYONGE

Posted on: October 3rd, 2018

“ Wakuu wa wilaya na wakurugenzi wote ndani ya mkoa wa Iringa hakikisheni mnasimamia watumishi walio chini yenu na tengeni muda wenu kusimamia miradi ya maendeleo katika wilaya zenu.”

Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa mkoa wa Iringa Mheshimiwa Ally Hapi alipokuwa akihutubia wananchi wa mkoa wa Iringa katika mkutano wa majumuisho wa ziara ya IRINGA MPYA katika viwanja vya mwembetogwa Manispaa ya Iringa.


Katika Manispaa ya Iringa ziara ya mkuu wa mkoa ilianza tarehe26/9/2018 mpaka tarehe 29/9/2018 ambapo jumla ya miradi sita ya maendeleo ilitembelewa na mkuu huyo wa mkoa ukiwemo mradi wa machinjio ya kisasa ya ngelewala, mradi wa kuzindua jengo la kufulia nguo hospitali ya frelimo, mradi wa ujenzi wa madarasa 4 shule ya msingi viziwi, mradi wa ujenzi wa bweni shule ya sekondari ya wasichana Iringa, mradi wa ujenzi wa stendi ya mabasi Igumbilo na mradi wa ujenzi wa madarasa mawli shule ya msingi Kigonzile.

Aidha, mradi wa ujenzi wa madarasa manne shule ya msingi viziwi ulizinduliwa na mradi wa ujenzi wa bweni shule ya sekondari ya wasichana Iringa uliwekewa jiwe la msingi. Pia mradi wa ujenzi wa jengo la kufulia katika hospitali ya frelimo ulizinduliwa.

Katika Manispaa ya Iringa mkuu wa mkoa Mheshimiwa Ally Hapi alifanya mikutano mikubwa ya kusikiliza kero za wananchi minne na mikutano midogo ya kuwafuata wananchi na kusikiliza kero zao minne ambapo jumla kwa Manispaa alifanya mikutano nane.

Katika ziara hiyo mkuu wa mkoa alisikiliza na kutatua kero za wananchi ambazo zaidi zilikuwa ni kero ya ardhi, mipangomiji, afya na sheria.

Lengo la ziara ya Iringa Mpya ni kuwakumbusha watumishi wajibu wao wa kuwafuata wananchi huko chini waliko na kutatua kero zao, ambapo ameahidi kurudi tena kwenye wilaya za mkoa wa Iringa na kufuatilia maagizo yote na kero alizozipokea kama zimefanyiwa kazi




Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa