• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

ZINGATIENI WELEDI KATIKA UWAJIBIKAJI - MWAKASUNGULA

Posted on: May 19th, 2024

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Nicholaus Mwakasungula amewataka wauguzi wa Manispaa ya Iringa kufanya kazi kwa weledi kulingana na taaluma yao.

Ameyasema hayo katika maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani ambayo kimkoa yamefanyika katika Hospital ya wilaya ya Frelimo siku ya ijumaa tarehe 17.05. 2024.

Akihutubia wauguzi mahali hapo pia amewataka wauguzi kutoa huduma kwa wananchi kutokana na mahitaji yao huku wakizingatia uvumilivu na matendo ya huruma kwa wagonjwa.

“Naomba niwapongeze sana kwa kuandaa shughuli hii maalumu mnayofanya katika siku ya leo, lakini vilevile nawaomba mumuenzi muuguzi mwanzilishi, Bi Florance Nightngale kutokana na kujitoa kwake pamoja na utendaji wake wa kazi uliotukuka, muige mfano wake. Pia zingatieni majukumu ya kazi kwa mujibu wa taaluma yenu.”

Amesema Mwakasungula.

Naye, Muuguzi Mkuu wa Halmashauri ya Manispaa ya iringa Bi. Afla Mtuya amewashukuru wote waliohudhuria katika tukio hilo muhimu kama ishara ya kuwakumbusha wajibu na majukumu yao katika kusimamia huduma wanazozitoa kwa wagonjwa. 

Aidha, Mwakasungula ameahidi kufikisha kero na changamoto mbalimbali za wauguzi hao kwa uongozi wa Manispaa ikiwemo

upungufu wa watumishi, urekebishaji wa mishahara, vyeo kwa watumishi na upungufu wa magari maalumu ya wagonjwa (Ambulance) na vitendea kazi vinginevyo mahali pa kazi.

Maadhimisho hayo yamehudhuriwa na wauguzi wa vituo vya afya, zahanati pamoja na Hospitali zote za Manispaa ya Iringa huku yakiongozwa kwa kauli mbiu isemayo, “Wauguzi Sauti Inayoongoza, Wekeza Katika Uuguzi, Heshimu haki, Linda afya.” Ambapo hufanyika duniani kote kila mwaka ifikapo Mei 12.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa